4 Na ikawa kwamba Yezebeli+ alipowakatilia mbali manabii+ wa Yehova, Obadia aliwachukua manabii 100, akawaficha wakiwa vikundi viwili vya watu 50 pangoni, naye akawapa mkate na maji.)+
10 Basi mtengano ulipokuwa mkubwa, kiongozi wa kijeshi akaogopa kwamba wangemrarua Paulo vipande-vipande, naye akaamuru jeshi la askari+ lishuke liende kumnyakua kutoka katikati yao na kumleta ndani ya makao ya askari-jeshi.+