Matendo 21:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 naye mara moja akachukua askari-jeshi na maofisa-jeshi na kuwakimbilia huko chini.+ Walipomwona kiongozi huyo wa kijeshi+ na askari-jeshi, wakaacha kumpiga Paulo.
32 naye mara moja akachukua askari-jeshi na maofisa-jeshi na kuwakimbilia huko chini.+ Walipomwona kiongozi huyo wa kijeshi+ na askari-jeshi, wakaacha kumpiga Paulo.