Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 22:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kisha mfalme akawaamuru Hilkia kuhani na Ahikamu+ mwana wa Shafani na Akbori mwana wa Mikaya na Shafani mwandishi na Asaya+ mtumishi wa mfalme, akisema:

  • 2 Mambo ya Nyakati 34:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Kisha mfalme akawaamuru Hilkia+ na Ahikamu+ mwana wa Shafani na Abdoni mwana wa Mika na Shafani+ mwandishi+ na Asaya+ mtumishi wa mfalme, akisema:

  • Yeremia 39:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 naam, waliwatuma watu na kumchukua Yeremia kutoka katika Ua wa Walinzi+ na kumtia mkononi mwa Gedalia+ mwana wa Ahikamu+ mwana wa Shafani,+ ili amlete katika nyumba yake, ili akae katikati ya watu.

  • Yeremia 40:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na alipokuwa bado hajaamua kurudi, Nebuzaradani akasema: “Rudi kwa Gedalia+ mwana wa Ahikamu+ mwana wa Shafani,+ ambaye mfalme wa Babiloni amemweka juu ya majiji ya Yuda, nawe ukae pamoja naye katikati ya watu; au popote ambapo ni sawa machoni pako kwenda, nenda.”+

      Ndipo mkuu wa walinzi akampa posho ya chakula na zawadi na kumwacha aende zake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki