Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezra 7:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 huyo Ezra alitoka Babiloni; naye alikuwa mwandikaji stadi+ katika sheria ya Musa,+ ambayo Yehova Mungu wa Israeli alikuwa ametoa, hata mfalme akampa maombi yake yote, kulingana na mkono wa Yehova Mungu wake juu yake.+

  • Methali 16:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Yehova anapofurahia njia za mtu,+ huwafanya hata adui zake wawe na amani naye.+

  • Methali 21:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Moyo wa mfalme ni kama vijito vya maji mkononi mwa Yehova.+ Huugeuza kuelekea popote anapopenda.+

  • Yeremia 15:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Yehova amesema: “Hakika nitakuhudumia upate mema.+ Hakika nitakutetea wakati wa msiba na wakati wa taabu,+ juu ya adui.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki