Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Nehemia 2:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 pia barua kwa Asafu mtunzaji wa bustani ya mfalme, ili anipe miti ya kujenga kwa mbao malango ya Ngome+ ya nyumba,+ na kwa ajili ya ukuta+ wa jiji na kwa ajili ya nyumba ambayo nitaingia.” Basi mfalme akanipa barua hizo, kulingana na mkono mwema wa Mungu wangu uliokuwa juu yangu.+

  • Isaya 44:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Yule anayesema kumhusu Koreshi,+ ‘Yeye ni mchungaji wangu, naye atatenda kikamilifu mapendezi yangu yote’;+ neno langu kuhusu Yerusalemu, ‘Atajengwa upya,’ na kuhusu hekalu, ‘Msingi wako utawekwa.’”+

  • Ufunuo 17:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kwa maana Mungu alitia hilo ndani ya mioyo yao ili kutekeleza wazo lake,+ kutekeleza lile wazo lao moja kwa kumpa yule mnyama-mwitu ufalme wao,+ mpaka maneno ya Mungu yatakapokwisha kutimizwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki