8 pia barua kwa Asafu mtunzaji wa bustani ya mfalme, ili anipe miti ya kujenga kwa mbao malango ya Ngome+ ya nyumba,+ na kwa ajili ya ukuta+ wa jiji na kwa ajili ya nyumba ambayo nitaingia.” Basi mfalme akanipa barua hizo, kulingana na mkono mwema wa Mungu wangu uliokuwa juu yangu.+
17 Kwa maana Mungu alitia hilo ndani ya mioyo yao ili kutekeleza wazo lake,+ kutekeleza lile wazo lao moja kwa kumpa yule mnyama-mwitu ufalme wao,+ mpaka maneno ya Mungu yatakapokwisha kutimizwa.+