-
Ufunuo 17:17Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
17 Kwa maana Mungu alitia hilo ndani ya mioyo yao ili kutekeleza fikira yake, hata kutekeleza fikira yao moja kwa kumpa hayawani-mwitu ufalme wao, mpaka maneno ya Mungu yawe yamekwisha kutimizwa.
-