-
Yoshua 11:19, 20Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
19 Hakuna jiji lolote lililofanya amani na Waisraeli isipokuwa Wahivi waliokaa Gibeoni.+ Waisraeli walipigana na majiji mengine yote na kuyashinda.+ 20 Yehova aliacha mioyo yao iwe mikaidi+ hivi kwamba wakapigana na Waisraeli, ili awaangamize bila huruma.+ Walipaswa kuangamizwa, kama Yehova alivyomwamuru Musa.+
-