Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 11:19, 20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Hakuna jiji lolote lililofanya amani na Waisraeli isipokuwa Wahivi waliokaa Gibeoni.+ Waisraeli walipigana na majiji mengine yote na kuyashinda.+ 20 Yehova aliacha mioyo yao iwe mikaidi+ hivi kwamba wakapigana na Waisraeli, ili awaangamize bila huruma.+ Walipaswa kuangamizwa, kama Yehova alivyomwamuru Musa.+

  • Methali 21:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Moyo wa mfalme ni kama vijito vya maji mkononi mwa Yehova.+

      Yeye huuelekeza mahali popote anapopenda.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki