Yoshua 9:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Lakini wazee wa Waisraeli wakawaambia hao Wahivi:+ “Huenda mnakaa karibu nasi. Tunawezaje kufanya agano nanyi?”+ Yoshua 9:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Basi Yoshua akafanya amani nao,+ pia akafanya agano pamoja nao ili kuwaacha waishi, na hivyo ndivyo wakuu wa Waisraeli walivyowaapia.+
7 Lakini wazee wa Waisraeli wakawaambia hao Wahivi:+ “Huenda mnakaa karibu nasi. Tunawezaje kufanya agano nanyi?”+
15 Basi Yoshua akafanya amani nao,+ pia akafanya agano pamoja nao ili kuwaacha waishi, na hivyo ndivyo wakuu wa Waisraeli walivyowaapia.+