-
Kumbukumbu la Torati 20:16-18Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
16 Lakini katika majiji ya mataifa haya, ambayo Yehova Mungu wenu anawapa yawe urithi wenu, hampaswi kuacha hai kitu chochote kinachopumua.+ 17 Mnapaswa kuwaangamiza kabisa, Wahiti, Waamori, Wakanaani, Waperizi, Wahivi, na Wayebusi,+ kama Yehova Mungu wenu alivyowaamuru; 18 ili wasiwafundishe kufuata mazoea yao yote yenye kuchukiza wanayofanyia miungu yao, na hivyo kuwafanya mumtendee dhambi Yehova Mungu wenu.+
-