17 Jiji na vitu vyote vilivyomo vinapaswa kuharibiwa;+ vyote ni vya Yehova. Ila msimwangamize Rahabu+ yule kahaba na wote walio pamoja naye nyumbani mwake, kwa sababu aliwaficha wajumbe tuliowatuma.+
28 Yoshua akateka jiji la Makeda+ siku hiyo na kuwaangamiza wakaaji wake kwa upanga. Akamwangamiza mfalme wake na wakaaji wote, na hakuna mtu yeyote aliyebaki.*+ Alimtendea mfalme wa Makeda+ kama alivyomtendea mfalme wa Yeriko.