Kutoka 34:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Muwe waangalifu msifanye agano na wakaaji wa nchi mnayoenda kuingia,+ ili agano hilo lisiwe mtego kwenu.+ Kumbukumbu la Torati 7:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Yehova Mungu wenu atawatia watu hao mikononi mwenu, nanyi mtawashinda.+ Mnapaswa kuwaangamiza kabisa.+ Msifanye agano lolote pamoja nao wala kuwahurumia.+
12 Muwe waangalifu msifanye agano na wakaaji wa nchi mnayoenda kuingia,+ ili agano hilo lisiwe mtego kwenu.+
2 Yehova Mungu wenu atawatia watu hao mikononi mwenu, nanyi mtawashinda.+ Mnapaswa kuwaangamiza kabisa.+ Msifanye agano lolote pamoja nao wala kuwahurumia.+