17 Kwa maana Mungu alitia hilo ndani ya mioyo yao ili kutekeleza wazo lake,+ ndiyo, kutekeleza lile wazo lao moja kwa kumpa yule mnyama wa mwituni+ ufalme wao, mpaka maneno ya Mungu yatakapokwisha kutimizwa.
17 Kwa maana Mungu alitia hilo ndani ya mioyo yao ili kutekeleza wazo lake,+ kutekeleza lile wazo lao moja kwa kumpa yule mnyama-mwitu ufalme wao,+ mpaka maneno ya Mungu yatakapokwisha kutimizwa.+