Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 11:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Kwa kuwa hiyo ndiyo iliyokuwa njia ya Yehova ya kutenda, kuacha mioyo yao iwe migumu+ ili watangaze vita juu ya Israeli, kusudi awaangamize, ili wasipate kibali,+ bali ili yeye apate kuwaangamiza, kama vile Yehova alivyokuwa amemwamuru Musa.+

  • Methali 21:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Moyo wa mfalme ni kama vijito vya maji mkononi mwa Yehova.+ Huugeuza kuelekea popote anapopenda.+

  • Yeremia 51:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Inueni ishara+ juu ya kuta za Babiloni. Yatieni malindo nguvu.+ Wekeni walinzi. Watayarisheni wale wanaovizia.+ Kwa maana Yehova ametunga wazo naye pia hakika atafanya lile alilosema juu ya wakaaji wa Babiloni.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki