Kumbukumbu la Torati 20:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Ni katika majiji ya watu hawa tu ambayo Yehova anakupa yawe urithi ambayo hutaacha hai chochote kinachopumua,+ Yoshua 11:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na wana wa Israeli wakapora kwa ajili yao wenyewe nyara zote za majiji hayo na wanyama wa kufugwa.+ Walipiga kwa makali ya upanga binadamu wote peke yao, mpaka walipokuwa wamewaangamiza.+ Hawakuacha yeyote anayepumua abaki.+
16 Ni katika majiji ya watu hawa tu ambayo Yehova anakupa yawe urithi ambayo hutaacha hai chochote kinachopumua,+
14 Na wana wa Israeli wakapora kwa ajili yao wenyewe nyara zote za majiji hayo na wanyama wa kufugwa.+ Walipiga kwa makali ya upanga binadamu wote peke yao, mpaka walipokuwa wamewaangamiza.+ Hawakuacha yeyote anayepumua abaki.+