Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 31:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 kila kitu ambacho hustahimili moto, ndicho mtakachokipitisha motoni,+ nacho kitakuwa safi. Ila kinapaswa kutakaswa kwa kutumia maji ya kutakasa.+ Na kila kitu ambacho hakiwezi kustahimili moto mtakipitisha katika maji.+

  • Kumbukumbu la Torati 20:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Ni katika majiji ya watu hawa tu ambayo Yehova anakupa yawe urithi ambayo hutaacha hai chochote kinachopumua,+

  • Yoshua 8:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Nawe unapaswa kulitendea Ai na mfalme wake kama vile ulivyolitendea Yeriko na mfalme wake.+ Lakini mnaweza kupora nyara zake na wanyama wake wa kufugwa kwa ajili yenu wenyewe.+ Weka kikundi cha kulivizia jiji upande wake wa nyuma.”+

  • Yoshua 8:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Ni wanyama wa kufugwa peke yao na nyara za jiji ndizo ambazo Israeli waliteka kwa ajili yao wenyewe, kulingana na neno la Yehova ambalo alikuwa amemwamuru Yoshua.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki