23 kila kitu ambacho hustahimili moto, ndicho mtakachokipitisha motoni,+ nacho kitakuwa safi. Ila kinapaswa kutakaswa kwa kutumia maji ya kutakasa.+ Na kila kitu ambacho hakiwezi kustahimili moto mtakipitisha katika maji.+
2 Nawe unapaswa kulitendea Ai na mfalme wake kama vile ulivyolitendea Yeriko na mfalme wake.+ Lakini mnaweza kupora nyara zake na wanyama wake wa kufugwa kwa ajili yenu wenyewe.+ Weka kikundi cha kulivizia jiji upande wake wa nyuma.”+
27 Ni wanyama wa kufugwa peke yao na nyara za jiji ndizo ambazo Israeli waliteka kwa ajili yao wenyewe, kulingana na neno la Yehova ambalo alikuwa amemwamuru Yoshua.+