Ayubu 27:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Yeye atatayarisha, lakini mwadilifu ndiye atakayevaa,+Na yeye asiye na hatia ndiye atakayekuwa na fungu katika ile fedha. Methali 13:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Mtu mwema atawaachia urithi wana wa wanawe, na mali ya mtenda-dhambi huwekwa akiba kwa ajili ya mwadilifu.+ Mhubiri 2:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Kwa maana amempa mwanadamu aliye mwema mbele zake+ hekima na ujuzi na furaha,+ bali amempa mtenda-dhambi shughuli ya kukusanya na kuleta pamoja ili tu ampe mtu aliye mwema mbele za yule Mungu wa kweli.+ Hilo pia ni ubatili na kufuatilia upepo.+
17 Yeye atatayarisha, lakini mwadilifu ndiye atakayevaa,+Na yeye asiye na hatia ndiye atakayekuwa na fungu katika ile fedha.
22 Mtu mwema atawaachia urithi wana wa wanawe, na mali ya mtenda-dhambi huwekwa akiba kwa ajili ya mwadilifu.+
26 Kwa maana amempa mwanadamu aliye mwema mbele zake+ hekima na ujuzi na furaha,+ bali amempa mtenda-dhambi shughuli ya kukusanya na kuleta pamoja ili tu ampe mtu aliye mwema mbele za yule Mungu wa kweli.+ Hilo pia ni ubatili na kufuatilia upepo.+