Mwanzo 7:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kisha Yehova akamwambia Noa: “Ingia ndani ya safina, wewe pamoja na nyumba yako yote,+ kwa maana nimekuona wewe kuwa mwadilifu mbele zangu kati ya kizazi hiki.+ 1 Samweli 18:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na Daudi alikuwa akitenda kwa busara+ katika njia zake zote, na Yehova alikuwa pamoja naye.+ 2 Mambo ya Nyakati 31:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Na Hezekia akafanya hivyo katika Yuda yote, naye akaendelea kufanya yaliyokuwa mema+ na sawa+ na yenye uaminifu+ mbele za Yehova Mungu wake. Methali 3:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Kwa maana mtu mwenye hila+ ni chukizo kwa Yehova,+ lakini urafiki Wake uko pamoja na watu wanyoofu.+ Isaya 3:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Semeni kwamba itakuwa vema kwa mwadilifu,+ kwa maana watakula matunda ya matendo yao.+ Luka 1:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Wote wawili walikuwa waadilifu+ mbele za Mungu kwa sababu ya kutembea bila lawama+ kulingana na amri+ zote na matakwa ya kisheria+ ya Yehova.+
7 Kisha Yehova akamwambia Noa: “Ingia ndani ya safina, wewe pamoja na nyumba yako yote,+ kwa maana nimekuona wewe kuwa mwadilifu mbele zangu kati ya kizazi hiki.+
20 Na Hezekia akafanya hivyo katika Yuda yote, naye akaendelea kufanya yaliyokuwa mema+ na sawa+ na yenye uaminifu+ mbele za Yehova Mungu wake.
32 Kwa maana mtu mwenye hila+ ni chukizo kwa Yehova,+ lakini urafiki Wake uko pamoja na watu wanyoofu.+
6 Wote wawili walikuwa waadilifu+ mbele za Mungu kwa sababu ya kutembea bila lawama+ kulingana na amri+ zote na matakwa ya kisheria+ ya Yehova.+