Methali 28:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Mtu mwenye matendo ya uaminifu atapata baraka nyingi,+ lakini yeye anayefanya haraka kupata utajiri hatabaki pasipo hatia.+ Matendo 24:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Katika habari hii, kwa kweli, ninajizoeza mwenyewe sikuzote kudhamiria+ kutomkosea Mungu na wanadamu.
20 Mtu mwenye matendo ya uaminifu atapata baraka nyingi,+ lakini yeye anayefanya haraka kupata utajiri hatabaki pasipo hatia.+
16 Katika habari hii, kwa kweli, ninajizoeza mwenyewe sikuzote kudhamiria+ kutomkosea Mungu na wanadamu.