5 Naye Daudi akaanza kutoka. Popote ambapo Sauli alikuwa akimtuma, alitenda kwa busara,+ hivi kwamba Sauli akamweka juu ya watu wa vita;+ na ikaonekana vema machoni pa watu wote na pia machoni pa watumishi wa Sauli.
2 Nami nikaweka usimamizi wa Yerusalemu chini ya Hanani ndugu yangu na Hanania+ mkuu wa Ngome,+ kwa maana alikuwa mwanamume mwenye kutegemeka+ sana naye alimwogopa+ Mungu wa kweli kuliko wengine wengi.