21 Lakini wewe mwenyewe unapaswa kuchagua kutoka kati ya watu wote wanaume wenye uwezo,+ wanaomwogopa Mungu,+ wanaume wenye kutegemeka,+ wanaochukia faida isiyo ya haki;+ na lazima uwaweke hao juu yao wawe wakuu juu ya maelfu,+ wakuu juu ya mamia, wakuu juu ya 50, na wakuu juu ya makumi.+
15 Na kuhusu wale magavana waliokuwa kabla yangu, walikuwa wamewalemea watu, nao walikuwa wakichukua kutoka kwao kila siku shekeli 40 za fedha kwa ajili ya mkate na divai. Pia, watumishi wao waliwaonea watu.+ Bali mimi sikufanya hivyo+ kwa sababu ya kumwogopa Mungu.+