15 Basi nikawachukua vichwa vya makabila yenu, wanaume wenye hekima na uzoefu, na kuwaweka kuwa vichwa juu yenu, wakuu wa maelfu na wakuu wa mamia na wakuu wa 50 na wakuu wa makumi na maofisa wa makabila yenu.+
23 Zaidi ya hayo, wakawaweka rasmi wanaume wazee+ kwa ajili yao katika kila kutaniko, wakatoa sala pamoja na kufunga,+ na kuwakabidhi kwa Yehova+ ambaye walikuwa wamemwamini.
5 Kwa sababu hii nilikuacha wewe Krete,+ ili uyarekebishe mambo yaliyokuwa na kasoro na uweke rasmi+ wanaume wazee katika jiji baada ya jiji, kama nilivyokupa maagizo;+