-
Ayubu 2:3Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
3 Naye Yehova akaendelea kumwambia Shetani: “Je, umeuweka moyo wako juu ya mtumishi wangu Ayubu,+ kwamba hakuna yeyote aliye kama yeye duniani, mtu asiye na lawama na mnyoofu,+ mwenye kumwogopa Mungu+ na kujiepusha na ubaya?+ Hata sasa bado anashikilia sana utimilifu wake,+ ingawa wewe unanichochea+ juu yake nimmeze bila sababu.”+
-