Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 6:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 kusudi wakuogope+ kwa kutembea katika njia zako siku zote ambazo wako hai juu ya uso wa nchi ambayo uliwapa mababu zetu.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 19:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Na sasa hofu+ ya Yehova na iwe juu yenu.+ Iweni waangalifu na mtende,+ kwa maana hakuna ukosefu wowote wa uadilifu+ wala ubaguzi+ wala kuchukua rushwa kwa upande wa Yehova Mungu wetu.”+

  • Ayubu 2:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Naye Yehova akaendelea kumwambia Shetani: “Je, umeuweka moyo wako juu ya mtumishi wangu Ayubu,+ kwamba hakuna yeyote aliye kama yeye duniani, mtu asiye na lawama na mnyoofu,+ mwenye kumwogopa Mungu+ na kujiepusha na ubaya?+ Hata sasa bado anashikilia sana utimilifu wake,+ ingawa wewe unanichochea+ juu yake nimmeze bila sababu.”+

  • Methali 8:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kumwogopa Yehova humaanisha kuchukia yaliyo mabaya.+ Nimechukia kujiinua na kiburi+ na njia mbaya na kinywa kipotovu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki