Ayubu 28:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Naye akamwambia mwanadamu,‘Tazama! Kumwogopa Yehova—hiyo ndiyo hekima,+Na kuacha ubaya ni uelewaji.’”+ Methali 19:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Kumwogopa Yehova huelekeza kwenye uzima,+ na mtu atalala usiku akiwa ameridhika;+ mtu hatapatwa na lililo baya.+
28 Naye akamwambia mwanadamu,‘Tazama! Kumwogopa Yehova—hiyo ndiyo hekima,+Na kuacha ubaya ni uelewaji.’”+
23 Kumwogopa Yehova huelekeza kwenye uzima,+ na mtu atalala usiku akiwa ameridhika;+ mtu hatapatwa na lililo baya.+