Methali 3:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Unapolala hutahofu;+ nawe hakika utalala, nao usingizi wako utakuwa mtamu.+ Mhubiri 5:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Usingizi wa mtumishi ni mtamu,+ bila kujali kama anakula kidogo au kingi; lakini wingi alio nao tajiri haumruhusu kulala. Mathayo 5:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Wenye furaha ni wale walio na njaa na walio na kiu+ kwa ajili ya uadilifu, kwa kuwa watashibishwa.+
12 Usingizi wa mtumishi ni mtamu,+ bila kujali kama anakula kidogo au kingi; lakini wingi alio nao tajiri haumruhusu kulala.
6 “Wenye furaha ni wale walio na njaa na walio na kiu+ kwa ajili ya uadilifu, kwa kuwa watashibishwa.+