Zaburi 3:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Nami nitajilaza nipate kulala usingizi;Hakika nitaamka, kwa maana Yehova anaendelea kunitegemeza.+ Zaburi 4:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Katika amani nitajilaza na kulala usingizi,+Kwa maana wewe peke yako, Ee Yehova, hunifanya nikae kwa usalama.+ Methali 6:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Unapotembea huku na huku, itakuongoza;+ unapolala, itakulinda;+ na unapokuwa umeamka, hiyo yenyewe itakuhangaikia.
8 Katika amani nitajilaza na kulala usingizi,+Kwa maana wewe peke yako, Ee Yehova, hunifanya nikae kwa usalama.+
22 Unapotembea huku na huku, itakuongoza;+ unapolala, itakulinda;+ na unapokuwa umeamka, hiyo yenyewe itakuhangaikia.