10 Nanyi mtavuka Yordani+ na kukaa katika nchi ambayo Yehova Mungu wenu anawapa iwe miliki,+ naye atawapa pumziko kutokana na adui zenu wanaowazunguka, nanyi hakika mtakaa kwa usalama.+
25 “ ‘ “Nami nitafanya agano la amani pamoja nao,+ na hakika mimi nitamkomesha katika nchi mnyama-mwitu mwenye kudhuru,+ nao kwa kweli watakaa nyikani kwa usalama na kulala katika misitu.+