Zaburi 4:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Katika amani nitajilaza na kulala usingizi,+Kwa maana wewe peke yako, Ee Yehova, hunifanya nikae kwa usalama.+ Zaburi 127:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ni kazi ya bure kwamba ninyi mnaamka mapema,+Kwamba mnakaa mpaka kuchelewa,+Kwamba mnakula chakula kwa maumivu.+Hivi ndivyo anavyompa hata mpendwa wake usingizi.+ Methali 3:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Unapolala hutahofu;+ nawe hakika utalala, nao usingizi wako utakuwa mtamu.+
8 Katika amani nitajilaza na kulala usingizi,+Kwa maana wewe peke yako, Ee Yehova, hunifanya nikae kwa usalama.+
2 Ni kazi ya bure kwamba ninyi mnaamka mapema,+Kwamba mnakaa mpaka kuchelewa,+Kwamba mnakula chakula kwa maumivu.+Hivi ndivyo anavyompa hata mpendwa wake usingizi.+