Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 4:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Katika amani nitajilaza na kulala usingizi,+

      Kwa maana wewe peke yako, Ee Yehova, hunifanya nikae kwa usalama.+

  • Zaburi 127:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Ni kazi ya bure kwamba ninyi mnaamka mapema,+

      Kwamba mnakaa mpaka kuchelewa,+

      Kwamba mnakula chakula kwa maumivu.+

      Hivi ndivyo anavyompa hata mpendwa wake usingizi.+

  • Methali 3:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Unapolala hutahofu;+ nawe hakika utalala, nao usingizi wako utakuwa mtamu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki