Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 4:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Katika amani nitajilaza na kulala usingizi,+

      Kwa maana wewe peke yako, Ee Yehova, hunifanya nikae kwa usalama.+

  • Methali 3:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Unapolala hutahofu;+ nawe hakika utalala, nao usingizi wako utakuwa mtamu.+

  • Yeremia 31:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Ndipo nikaamka na kuanza kuona; nao usingizi wangu ulikuwa umekuwa mtamu kwangu.

  • Mathayo 6:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 “Kwa sababu hiyo ninawaambia ninyi: Acheni kuhangaika+ juu ya nafsi zenu kuhusu kile mtakachokula au kile mtakachokunywa, au juu ya miili yenu kuhusu kile mtakachovaa.+ Je, nafsi haimaanishi zaidi ya chakula na mwili zaidi ya mavazi?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki