Isaya 55:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 55 Haya, ninyi nyote mlio na kiu!+ Njooni kwenye maji.+ Na wale wasio na pesa! Njooni, mnunue mle.+ Ndiyo, njooni, mnunue divai+ na maziwa+ bila pesa na bila bei.+ Luka 6:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 “Wenye furaha ni ninyi mlio na njaa+ sasa, kwa sababu mtashiba.+ “Wenye furaha ni ninyi mnaolia sasa, kwa sababu mtacheka.+
55 Haya, ninyi nyote mlio na kiu!+ Njooni kwenye maji.+ Na wale wasio na pesa! Njooni, mnunue mle.+ Ndiyo, njooni, mnunue divai+ na maziwa+ bila pesa na bila bei.+
21 “Wenye furaha ni ninyi mlio na njaa+ sasa, kwa sababu mtashiba.+ “Wenye furaha ni ninyi mnaolia sasa, kwa sababu mtacheka.+