Zaburi 107:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana ameishibisha nafsi iliyokauka;+Na nafsi yenye njaa ameijaza vitu vyema.+ Yeremia 31:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kwa maana nitaishibisha nafsi iliyochoka, nami nitaijaza kila nafsi ambayo ni dhaifu.”+