Zaburi 34:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Wana-simba wenye manyoya shingoni wamekuwa na vichache na kukaa njaa;+Lakini kwa wale wanaomtafuta Yehova, hawatakosa chochote chema.+ Zaburi 146:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Yeye anayetekeleza hukumu kwa ajili ya waliopunjwa,+Yeye anayewapa wenye njaa mkate.+Yehova anawafungua wale waliofungwa.+ Yeremia 31:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nami nitaishibisha nafsi ya makuhani kwa mafuta,+ na watu wangu watashiba wema,”+ asema Yehova. Luka 1:53 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 53 amewashibisha kabisa wenye njaa kwa vitu vyema+ na wale waliokuwa na mali amewaacha waende mikono mitupu.+
10 Wana-simba wenye manyoya shingoni wamekuwa na vichache na kukaa njaa;+Lakini kwa wale wanaomtafuta Yehova, hawatakosa chochote chema.+
7 Yeye anayetekeleza hukumu kwa ajili ya waliopunjwa,+Yeye anayewapa wenye njaa mkate.+Yehova anawafungua wale waliofungwa.+
53 amewashibisha kabisa wenye njaa kwa vitu vyema+ na wale waliokuwa na mali amewaacha waende mikono mitupu.+