Kutoka 23:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Usikubali rushwa, kwa maana rushwa hupofusha watu wanaoona vizuri na inaweza kupotosha maneno ya watu waadilifu.+ Matendo 20:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Sikutamani fedha au dhahabu au vazi la mtu.+ 1 Timotheo 3:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 si mlevi mwenye fujo,+ si mwenye kupiga watu,+ bali mwenye usawaziko,+ si mtaka-vita,+ si mwenye kupenda pesa,+ 1 Petro 5:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Lichungeni+ kundi la Mungu+ lililo chini ya uangalizi wenu, si kwa kulazimishwa, bali kwa kupenda;+ wala si kwa kupenda pato lisilo la haki,+ bali kwa hamu;
8 “Usikubali rushwa, kwa maana rushwa hupofusha watu wanaoona vizuri na inaweza kupotosha maneno ya watu waadilifu.+
3 si mlevi mwenye fujo,+ si mwenye kupiga watu,+ bali mwenye usawaziko,+ si mtaka-vita,+ si mwenye kupenda pesa,+
2 Lichungeni+ kundi la Mungu+ lililo chini ya uangalizi wenu, si kwa kulazimishwa, bali kwa kupenda;+ wala si kwa kupenda pato lisilo la haki,+ bali kwa hamu;