14 Wachunge watu wako kwa fimbo yako,+ kundi la urithi wako, yeye aliyekuwa akikaa peke yake msituni—katikati ya shamba la matunda.+ Na walishe katika Bashani na Gileadi+ kama katika siku za zamani.+
28 Jiangalieni+ ninyi wenyewe+ na kundi lote,+ ambalo roho takatifu imewaweka ninyi rasmi kuwa waangalizi+ kati yake, kulichunga kutaniko la Mungu,+ ambalo alilinunua kwa damu+ ya Mwana wake mwenyewe.