2 Kwa hiyo mwangalizi anapaswa kuwa asiyelaumika,+ mume wa mke mmoja, mwenye kiasi+ katika mazoea, mwenye utimamu wa akili,+ mwenye utaratibu,+ mkaribishaji-wageni,+ mwenye sifa za kustahili kufundisha,+
11 Ni jambo la lazima kuvifunga vinywa vya watu hao, kwa kuwa watu hao wanaendelea kuharibu nyumba nzima-nzima+ kwa kufundisha mambo ambayo hawapaswi kufundisha, ili kupata pato lisilo la haki.+