5 mabishano makali juu ya mambo madogo-madogo kwa upande wa watu walioharibika katika akili+ na kuporwa ile kweli,+ wakifikiri kwamba ujitoaji-kimungu ni njia ya kupata faida.+
2 Lichungeni+ kundi la Mungu+ lililo chini ya uangalizi wenu, si kwa kulazimishwa, bali kwa kupenda;+ wala si kwa kupenda pato lisilo la haki,+ bali kwa hamu;