11 Atalichunga kundi lake mwenyewe kama mchungaji.+ Atawakusanya pamoja wana-kondoo kwa mkono wake;+ naye atawabeba katika kifua chake.+ Wale wanaonyonya atawaongoza kwa uangalifu.+
16 Tena akamwambia, mara ya pili: “Simoni mwana wa Yohana, je, unanipenda?”+ Akamwambia: “Ndiyo, Bwana, unajua ninakupenda.” Akamwambia: “Chunga kondoo wangu wadogo.”+