13 Lakini akamwambia: “Bwana wangu anajua kwamba hawa watoto ni dhaifu na kondoo na ng’ombe wanaonyonyesha wako chini ya usimamizi wangu.+ Nao wakiwaendesha haraka mno kwa siku moja, basi kundi zima litakufa bila shaka.+
2 Lichungeni+ kundi la Mungu+ lililo chini ya uangalizi wenu, si kwa kulazimishwa, bali kwa kupenda;+ wala si kwa kupenda pato lisilo la haki,+ bali kwa hamu;