Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 33:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Lakini akamwambia: “Bwana wangu anajua kwamba hawa watoto ni dhaifu na kondoo na ng’ombe wanaonyonyesha wako chini ya usimamizi wangu.+ Nao wakiwaendesha haraka mno kwa siku moja, basi kundi zima litakufa bila shaka.+

  • Yohana 10:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Mimi ndiye mchungaji mwema, nami ninawajua kondoo+ wangu na kondoo wangu wananijua,+

  • Yohana 10:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Nami nina kondoo wengine,+ ambao si wa zizi hili;+ hao pia nitawaleta, nao wataisikiliza sauti yangu,+ nao watakuwa kundi moja, mchungaji mmoja.+

  • 1 Petro 5:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Lichungeni+ kundi la Mungu+ lililo chini ya uangalizi wenu, si kwa kulazimishwa, bali kwa kupenda;+ wala si kwa kupenda pato lisilo la haki,+ bali kwa hamu;

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki