24 Na hata hivyo upinde wake ulikuwa katika mahali pa kudumu,+ na nguvu za mikono yake zilikuwa zenye kunepa.+ Kwa mikono ya Mwenye Nguvu wa Yakobo,+ hapo ndipo alipo Mchungaji, Jiwe la Israeli.+
10 Hawatakuwa na njaa,+ wala kuwa na kiu,+ wala joto kali na jua halitawaunguza.+ Kwa maana Yeye anayewahurumia atawaongoza,+ naye atawaelekeza karibu na mabubujiko ya maji.+