Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 13:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 wa kabila la Efraimu, Hoshea+ mwana wa Nuni;

  • Yoshua 1:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Uwe hodari na mwenye nguvu,+ kwa maana ni wewe utakayewafanya watu hawa wairithi+ ile nchi ambayo niliwaapia mababu zao kuwa nitawapa.+

  • Yoshua 8:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Sasa Yehova akamwambia Yoshua: “Nyoosha mkuki ulio mkononi mwako kuelekea Ai,+ kwa maana nitalitia mkononi mwako.”+ Basi Yoshua akaunyoosha mkuki uliokuwa mkononi mwake kuelekea jiji lile.

  • Waamuzi 6:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Ndipo Yehova akamtazama na kusema: “Nenda katika nguvu zako hizi,+ nawe hakika utawaokoa Israeli kutoka katika mkono wa Midiani.+ Je, si mimi ninayekutuma?”+

  • Waamuzi 11:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Basi Yeftha akapita kwenda kwa wana wa Amoni ili kupigana nao, na Yehova akawatia mkononi mwake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki