22 Baadaye watu wa Israeli wakamwambia Gideoni: “Tawala juu yetu,+ wewe na mwana wako na mjukuu wako vilevile, kwa maana umetuokoa kutoka katika mkono wa Midiani.”+
32 Nami nitasema nini zaidi? Kwa maana nitakosa wakati nikiendelea kusimulia juu ya Gideoni,+ Baraka,+ Samsoni,+ Yeftha,+ Daudi+ na vilevile Samweli+ na wale manabii wengine,+