Mambo ya Walawi 26:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nami nitaweka amani katika nchi,+ nanyi mtalala, pasipo yeyote wa kuwatetemesha;+ nami nitamkomesha katika nchi+ mnyama-mwitu mwenye madhara, nao upanga hautapita katika nchi yenu.+ Zaburi 4:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Katika amani nitajilaza na kulala usingizi,+Kwa maana wewe peke yako, Ee Yehova, hunifanya nikae kwa usalama.+
6 Nami nitaweka amani katika nchi,+ nanyi mtalala, pasipo yeyote wa kuwatetemesha;+ nami nitamkomesha katika nchi+ mnyama-mwitu mwenye madhara, nao upanga hautapita katika nchi yenu.+
8 Katika amani nitajilaza na kulala usingizi,+Kwa maana wewe peke yako, Ee Yehova, hunifanya nikae kwa usalama.+