Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 11:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Nawe hakika utalala na kujinyoosha, pasipo mtu yeyote wa kukutetemesha.

      Na hakika watu wengi watakutuliza;+

  • Zaburi 4:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Katika amani nitajilaza na kulala usingizi,+

      Kwa maana wewe peke yako, Ee Yehova, hunifanya nikae kwa usalama.+

  • Yeremia 30:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “Nawe usiogope, Ee mtumishi wangu Yakobo,” asema Yehova, “wala usiingiwe na hofu, Ee Israeli.+ Kwa maana, tazama, ninakuokoa wewe kutoka mbali na uzao wako kutoka katika nchi yao ya utekwani.+ Na hakika Yakobo atarudi na kuwa huru kutokana na usumbufu naye atastarehe, wala hakutakuwa na mtu yeyote anayemtetemesha.”+

  • Mika 4:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Nao wataketi, kila mtu chini ya mzabibu wake na chini ya mtini wake,+ wala hakutakuwa na mtu yeyote anayewatetemesha;+ kwa maana kinywa cha Yehova wa majeshi kimesema hivyo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki