14 Utafanywa imara katika uadilifu.+ Utakuwa mbali sana na ukandamizaji+—kwa maana hutaogopa yeyote—na jambo lolote lenye kutia hofu, kwa maana halitakuja karibu nawe.+
25 “ ‘ “Nami nitafanya agano la amani pamoja nao,+ na hakika mimi nitamkomesha katika nchi mnyama-mwitu mwenye kudhuru,+ nao kwa kweli watakaa nyikani kwa usalama na kulala katika misitu.+
26 Nao watakuwa wamechukua fedheha+ yao na ukosefu wao wote wa uaminifu ambao wamenitendea,+ wakati watakapokaa katika nchi yao kwa usalama,+ pasipo mtu yeyote wa kuwatetemesha.+