26 Nami nitawarudisha tena waamuzi kwa ajili yako kama hapo kwanza, na washauri kwa ajili yako kama pale mwanzoni.+ Kisha wewe utaitwa Jiji la Uadilifu, Mji Mwaminifu.+
21 Na kwa habari ya watu wako, wote watakuwa waadilifu;+ mpaka wakati usio na kipimo wataimiliki nchi,+ chipukizi nililolipanda,+ kazi ya mikono yangu,+ ili mimi nirembeshwe.+