Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 91:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Kwa manyoya yake ataweka kizuizi usiweze kufikiwa,+

      Nawe utapata kimbilio chini ya mabawa yake.+

      Ukweli+ wake utakuwa ngao+ kubwa na boma.

  • Yeremia 23:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Nami nitasimamisha juu yao wachungaji ambao kweli watawachunga;+ nao hawataogopa tena, wala hawataingiwa na hofu yoyote,+ na hakuna hata mmoja atakayekosekana,” asema Yehova.

  • Sefania 3:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na kuhusu mabaki ya Israeli,+ hawatafanya ukosefu wowote wa uadilifu,+ wala kusema uwongo,+ wala hautapatikana kinywani mwao ulimi wenye ujanja;+ kwa maana wao wenyewe watajilisha na kulala wakiwa wamejinyoosha,+ wala hakutakuwa na mtu yeyote anayewatetemesha.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki