Isaya 63:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Naye aliendelea kusema: “Hakika wao ni watu wangu,+ wana ambao hawataonekana kuwa waongo.”+ Basi akawa Mwokozi+ wao. Waefeso 4:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kwa hiyo, sasa kwa kuwa mmeuondolea mbali uwongo,+ semeni kweli kila mmoja wenu na jirani yake,+ kwa sababu sisi ni viungo vya mtu na mwenzake.+ Wakolosai 3:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Msiwe mkiambiana uwongo.+ Uvueni utu wa zamani+ pamoja na mazoea yake, Ufunuo 14:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 na hamna uwongo uliopatikana katika vinywa vyao;+ wao hawana dosari.+ Ufunuo 21:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Lakini kitu chochote kisicho kitakatifu na yeyote anayeendelea kutenda chukizo+ na uwongo+ hataingia ndani yake hata kidogo;+ watakaoingia ni wale tu walioandikwa katika kile kitabu cha kukunjwa cha uzima cha Mwana-Kondoo.+
8 Naye aliendelea kusema: “Hakika wao ni watu wangu,+ wana ambao hawataonekana kuwa waongo.”+ Basi akawa Mwokozi+ wao.
25 Kwa hiyo, sasa kwa kuwa mmeuondolea mbali uwongo,+ semeni kweli kila mmoja wenu na jirani yake,+ kwa sababu sisi ni viungo vya mtu na mwenzake.+
27 Lakini kitu chochote kisicho kitakatifu na yeyote anayeendelea kutenda chukizo+ na uwongo+ hataingia ndani yake hata kidogo;+ watakaoingia ni wale tu walioandikwa katika kile kitabu cha kukunjwa cha uzima cha Mwana-Kondoo.+