Methali 14:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Shahidi mwaminifu ni yule ambaye hatasema uwongo,+ lakini shahidi wa uwongo husema uwongo mtupu.+ Ufunuo 21:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Lakini kitu chochote kisicho kitakatifu na yeyote anayeendelea kutenda chukizo+ na uwongo+ hataingia ndani yake hata kidogo;+ watakaoingia ni wale tu walioandikwa katika kile kitabu cha kukunjwa cha uzima cha Mwana-Kondoo.+
27 Lakini kitu chochote kisicho kitakatifu na yeyote anayeendelea kutenda chukizo+ na uwongo+ hataingia ndani yake hata kidogo;+ watakaoingia ni wale tu walioandikwa katika kile kitabu cha kukunjwa cha uzima cha Mwana-Kondoo.+