Isaya 41:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa maana mimi, Yehova Mungu wako, ninaushika mkono wako wa kuume,+ Mwenye kukuambia, ‘Usiogope.+ Mimi mwenyewe nitakusaidia.’+ Isaya 43:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “Usiogope, kwa maana nipo pamoja nawe.+ Kutoka mashariki nitauleta uzao wako, nami nitakukusanya pamoja kutoka magharibi.+ Isaya 44:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Yehova, Mtengenezaji+ wako na Mfanyizaji+ wako, ambaye aliendelea kukusaidia tangu tumboni,+ amesema hivi, ‘Usiogope,+ Ee mtumishi wangu Yakobo, na wewe, Yeshuruni,+ ambaye nimekuchagua.
13 Kwa maana mimi, Yehova Mungu wako, ninaushika mkono wako wa kuume,+ Mwenye kukuambia, ‘Usiogope.+ Mimi mwenyewe nitakusaidia.’+
5 “Usiogope, kwa maana nipo pamoja nawe.+ Kutoka mashariki nitauleta uzao wako, nami nitakukusanya pamoja kutoka magharibi.+
2 Yehova, Mtengenezaji+ wako na Mfanyizaji+ wako, ambaye aliendelea kukusaidia tangu tumboni,+ amesema hivi, ‘Usiogope,+ Ee mtumishi wangu Yakobo, na wewe, Yeshuruni,+ ambaye nimekuchagua.