Zaburi 71:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nimekutegemea tangu tumboni;+Wewe ndiye Yule anayenitenganisha na sehemu za ndani za mama yangu.+Sifa yangu kwako ni ya daima.+ Isaya 49:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 49 Nisikilizeni, enyi visiwa,+ na kazeni uangalifu, enyi vikundi vya mataifa vilivyo mbali.+ Yehova mwenyewe ameniita+ tangu tumboni.+ Amelitaja jina langu tangu tumbo la mama yangu.+ Yeremia 1:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “Kabla sijaanza kukuumba ndani ya tumbo+ nilikujua,+ na kabla hujatoka ndani ya tumbo la uzazi nilikutakasa.+ Nilikufanya uwe nabii kwa mataifa.”
6 Nimekutegemea tangu tumboni;+Wewe ndiye Yule anayenitenganisha na sehemu za ndani za mama yangu.+Sifa yangu kwako ni ya daima.+
49 Nisikilizeni, enyi visiwa,+ na kazeni uangalifu, enyi vikundi vya mataifa vilivyo mbali.+ Yehova mwenyewe ameniita+ tangu tumboni.+ Amelitaja jina langu tangu tumbo la mama yangu.+
5 “Kabla sijaanza kukuumba ndani ya tumbo+ nilikujua,+ na kabla hujatoka ndani ya tumbo la uzazi nilikutakasa.+ Nilikufanya uwe nabii kwa mataifa.”