Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 13:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kwa maana, tazama! utachukua mimba, nawe utazaa mwana, na wembe wowote usipite juu ya kichwa chake,+ kwa maana mtoto huyo atakuwa Mnadhiri+ wa Mungu tangu atakapotoka tumboni;+ naye ndiye atakayeongoza katika kuokoa Israeli kutoka mkononi mwa Wafilisti.”+

  • Isaya 45:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 45 Yehova amemwambia hivi mtiwa-mafuta wake,+ Koreshi, ambaye mkono wake wa kuume nimeushika,+ ili kuyatiisha mataifa mbele yake,+ hivi kwamba nivifungue viuno vya wafalme; nifungue mbele yake milango yenye pande mbili, hivi kwamba hata malango hayatafungwa:

  • Waroma 9:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 kwa maana walipokuwa bado hawajazaliwa wala kufanya jambo lolote jema au baya,+ ili kusudi la Mungu kuhusu kuchagua liendelee kutegemea, si matendo, bali Yeye ambaye huita,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki